Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Cosmas Ngangaji (watatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti kutoka Ofisi hiyo kwa ajili ya hatua za kukamilisha Mpango Mkakati wa Ofisi hiyo kilichofanyika kuanzia tarehe 28 Aprili-2 May, 2026 katika Ukumbi wa Ofisi ya Idara ya kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma