Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi akizungumza kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhwani Kikwete kuzungumza kwenye kikao na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Masuala ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hirsi Ganni,leo jijini Dodoma akioongoza ujumbe wa Serikali ya Somalia, uliofika nchini kwa ziara ya siku tatu kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ikiwemo suala la matumizi ya mifumo ya kidigitali katika masuala ya utumishi wa umma nchini