Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Viongozi, Wakurugenzi na Watumishi wa ofisi hiyo mara baada ya kumpokea Naibu Katibu Mkuu wa ofisi hiyo Bi. Prisca Lwangili (hayupo pichani) aliyeteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan baada ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Bw. Xavier Daudi kustaafu Utumishi wa Umma.