Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI Bw. Juma Mkomi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Bw. Xavier Daudi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Chinangali Park kutembelea mabanda ya maonesho na kushuhudia huduma mbalimbali zilizokuwa zinazotolewa na Wizara pamoja na Taasisi za Umma katika viwanja hivyo Juni 16, 2026 jijini Dodoma