Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akifuatilia mada kuhusu Usimamizi wa Maadili ya Viongozi wa Umma iliyokuwa ikiwasilishwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, tarehe 11 Februari, 2026. Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Bi. Ndoh’no William Abel