Mkurugenzi wa TEHAMA Serikalini, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Utawala Bora, Bw. Priscus Kiwango, (wa pili kutoka kulia) akitoa ufafanuzi wa jambo kwa wananchi waliotembelea banda la Ofisi hiyo kupata huduma katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 Jijini Dodoma