Mmoja wa Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi akisoma Katiba ya JMT wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wakuu wa Idara, Vitengo na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kuhusu mfumo wa e-Utendaji. Kushoto ni Mwezeshaji kutoka Ofisi ya Rais UTUMISHI na Utawala Bora Bw. Oswin Mkinga. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo Mkoani Iringa tarehe 13 Machi, 2026