Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kuzindua zoezi la ukaguzi katika halmashauri hiyo, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi mkoani humo.