Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Katikati) akifuatilia jambo wakati walipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa jengo la TAKUKURU, Wilaya ya Nyang’hwale, Mkoani Geita. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Crispin Chalamila