Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Mhe. Edwin Swalle akitoa neno la pongezi kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete kwa utendaji mzuri wa Ofisi yake katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Sheria kilicholenga kupokea utekelezaji wa bajeti ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/26 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2026/27 kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge jijini Dodoma