Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (aliyevaa suti nyeusi) akielekea kutazama baadhi ya mabwawa ya samaki wakati alipotembelea Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bi. Agnes Meena