Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Xavier Daudi, akizungumza na Wakuu wa Idara na vitengo vya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wakati alipokuwa akiongoza majadiliano katika kikao kazi na watumishi hao kilichofanyika Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma wa Ofisi hiyo, SACP. Ibrahimu Mahumi