Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 26, 2026 katika ukumbi wa ofisi hiyo iliyopo Mtumba, Jijini Dodoma kuhusu kikao kazi cha Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Wizara, Idara zinazojitegemea pamoja na Wakala wa serikali za Mtaa kinachotarajiwa kufanyika Juni 1 hadi 3, 2026 katika Ukumbi Jenerali Mabeyo