Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi, akifurahia jambo wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho ya Wiki ya Utumishi wa umma kabla ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete kufungua Maadhimisho hayo katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma