Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw, Juma Mkomi akizungumza na maofisa wa ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati wa kikao cha kuchagua Mfanyakazi bora katika Ofisi hiyo April 13, 2026 katika viwanja vya ofisi hiyo iliyopo Mtumba, Jijini Dodoma.