Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akisoma nyaraka kabla ya kuzungumza na Wahitimu kwenye mahafali ya tisa ya programu za uongozi zitolewazo na Taasisi ya Uongozi yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi.