Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akielekea kukagua jengo la Kitengo cha Tiba na Mionzi wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua na kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora. Wengine ni Viongozi, Watendaji, Madaktari na Wananchi.