Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – UTUMISH, Bw. Juma Mkomi, akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe kufunga Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Juni 23, 2026 iliyofanyika juni 23, 2026 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma