Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), akipokea maelezo kuhusu shughuli na majukumu yanayotekelezwa na Ofisi yake pamoja na yale yanayotekelezwa na eGA, wakati wa Mkutano Mkuu wa Pili Jumuishi wa Mwaka wa Jumuiya za Wataalamu wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu katika Utumishi wa Umma Tanzania, Mei 6, 2026, Jijini Arusha.