Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akimsikiliza Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa sita wa Serikali Mtandao katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) jijini Arusha.