Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi (wa tano kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa ofisi hiyo waliokuwa wakiadhimisha kumbukizi ya kuzaliwa kwao mwezi Machi, 2026. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Musa Magufuli.