Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora akizungumza na Watumishi wa Ofisi hiyo, kuhusu uzingatiaji wa elimu ya Usalama Mahali Pa Kazi wakati alipokuwa akihitimisha m,afunzo hayo yaliyofanyika leo tarehe 9 Machi,2026 Jijini Dodoma.