Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (kulia) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka (kushoto) wakati waziri huyo akifunga kikao kazi cha Mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji Wanataaluma hao leo tarehe 12 Februari, 2026 Mini Njombe