Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) na wananchi wa Mkoa wa Tanga mara baada ya kukagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Chuo hicho na kabla ya kuweka jiwe la msingi Kampasi ya Tanga.