Wakurugenzi wa Idara na Vitengo kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakimkabidhi kwa niaba ya Katibu Mkuu –UTUMISHI keki aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mishahara, Motisha na Marupurupu wa Ofisi hiyo Bi. Mariam Mwanilwa (wanne kutoka kulia) ambaye amestaafu, utumishi wake kwa mjibu wa sheria, kama ishara ya kumshukuru kwa mchango wake chanya katika Ofisi hiyo na kumtakia maisha mema anapohitimisha utumishi wake.