Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete Akizungumza na Wakurugenzi, Wakurugenzi wasaidizi pamoja na viongozi mbalimbali wa Ofisi ya Rais -UTUMISHI pamoja na taasisi zilizopo chini ya ofisi yake mara baada ya kuwasilisha Bajeti ya Ofisi hiyo Leo Aprili 17, 2026 Bungeni.