Viongozi na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifuatilia mafunzo kuwajengea uwezo wa kiutendaji yaliyotolewa tarehe 4 Mei, 2026 na Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania, (TPHPA) Prof. Joseph Ndunguru (hayupo pichani ) katika eneo maalumu la Ofisi hiyo Mtumba Jijini Dodoma