Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na wadau wa taasisi za umma, sekta binafsi na wadau mbalimbali wa maendeleo alipokuwa mgeni rasmi kwenye futari iliyoandaliwa na Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) iliyofanyika katika hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es salaam.