Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete, akisalimiana na Katibu Mkuu-UTUMISHI Bw. Juma Mkomi, mara baada ya Waziri huyo kuwasili katika viwanja vya Chinangali Park katika Ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Juni 17, 2026