Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akitoa maelezo ya awali kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray kuzungumza na Watendaji na Watumishi wa ofisi hiyo wakati wa futari maalum iliyoandaliwa na Menejimenti ya Ofisi hiyo kwa ajili ya Watumishi wa imani ya Dini ya Kiislam na Kikristo iliyofanyika Mtumba jijini Dodoma.