Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray akifuatilia Bajeti ya Ofisi hiyo wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akiwasilisha Bajeti ya ofisi hiyo kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo April 17, 2026 jijini Dodoma.