Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Ridhiwani Kikwete, akisalimiana na Mama Fatuma Karume mara baada ya kumtembelea nyumbani kwake Unguja, Zanzibar kwa lengo la kumjulia hali
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, akimsikiliza Mama Fatuma Karume mara baada ya kumtembelea nyumbani kwake Unguja, Zanzibar kwa lengo la kumjulia hali
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Nyasinde Mkono akiwa kwenye picha ya pamoja na Mama Fatuma Karume mara baada ya kumtembelea nyumbani kwake Unguja, Zanzibar
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Prisca Lwangili akizingumza na watumishi wa ofisi hiyo (hawapo pichani) mara baada ya mafunzo ya kuongeza uwezo yanayofanyika kila jumatatu katika ukimbi wa ofisi hiyo, Agosti 17, 2026
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Prisca Lwangili akiwa na baadhi ya Wakurugenzi na Wakurugenzi wasaidizi wakipata elimu juu ya hati ua kusafiri Agosti 17, 2026.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma Ofisi ya Rais - UTUMISHI Bw. Baraka Manono akizingumza na watumishi wa ofisi hiyo (hawapo pichani) kabla kuanza kwa mafunzo ya kuongeza uwezo yanayofanyika kila jumatatu katika ukimbi wa ofisi hiyo, Agosti 17, 2026
Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais – UTUMISHI wakipatiwa elimu kuhusu hati ya kusafiri kutoka kwa Afisa wa Idara ya uhamiaji Mrakibu Msaidizi Bw. Segere Zonzo (Hayupo pichani) Agosti 17, 2026 katika ukumbi wa ofisi hiyo.
Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais – UTUMISHI wakipatiwa elimu kuhusu hati ya kusafiri kutoka kwa Afisa wa Idara ya uhamiaji Mrakibu Msaidizi Bw. Segere Zonzo (Hayupo pichani) Agosti 17, 2026 katika ukumbi wa ofisi hiyo.
Mrakibu Msaidizi wa Idara ya Uhamiaji Bw. Segere Zonzo akitoa elimu kuhusu hati ya kusafiri kwa Watumishi wa Ofisi ya Rais – UTUMISHI wakati wa mafunzo ya kuongeza uwezo katika ofisi hiyo.
Mrakibu Msaidizi wa Idara ya Uhamiaji Bw. Monge Mnzava akitoa elimu kuhusu hati ya kusafiri kwa Watumishi wa Ofisi ya Rais – UTUMISHI wakati wa mafunzo ya kuongeza uwezo katika ofisi hiyo.
WATUMISHI WAPATIWA ELIMU KUHUSU HATI YA KUSAFIRI, NAIBU KATIBU MKUU LWANGILI ASISITIZA UMUHIMU WA MAFUNZO YA MARA KWA MARA KUJENGA UTUMISHI WA UMMA WENYE WELEDI
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA YAIPONGEZA TASAF KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO, YASISITIZA KUENDELEZA UWAZI NA UWAJIBIKAJI...