Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Patrick Allute (wa tatu kutoka kulia) akizungumza na Mwalimu ambaye ni Mtumishi katika shule ya sekondari Bihawana, Mkonze mara baada ya Mkurugenzi huyo na timu ta Wataalamu aliofuatana nao kuwasili katika mradi huo kwa ukaguzi Juni 25, 2026 jijini Dodoma