Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - UTUMISHI Bw. Juma Mkomi Agosti 12, 2026 akizungumza na Viongozi kutokea Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar pamoja na wakurugenzi Kutokea Ofisi ya Rais - UTUMISHI mara baada ya kutia saini ya makubaliano ya ushirikiano kwenye masuala ya mikopo ya elimu ya juu kwa watumishi wa umma Agosti 12, 2026 Mtumba Jijini Dodoma.