Afisa kutoka Ofisi ya Rai, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Edwin Bilikundi , (wa pili kutoka kushoto) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri, wa Ofisi hiyo, Mhe. Regina Qwaray (wa pili kutoka kulia) kuhusu huduma zinazotolewa na Ofisi hiyo katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma leo Juni 22, 2026 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma