Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Prisca Lwangili (wa pili kutoka kulia) akifuatilia mafunzo ya uelewa ambayo hutolewa kila jumatatu ya wiki katika eneo maalumu la Ofisi hiyo Mtumba Jijini Dodoma leo tarehe 10, Agosti, 2026.