Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Cyrus Kapinga, akizungumza na watumishi wa ofisi hiyo kuhusu umuhimu wa kupima afya mara kwa mara, hususan uchunguzi wa saratani, baada ya wataalamu kutoka Hospitali ya Ocean Road kutoa elimu kuhusu ugonjwa huo. Agosti 3, 2026 Mtumba jijini Dodoma