Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akifafanua hoja Bungeni jijini Dodoma wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kilicholenga kuwasilisha taarifa ya Utendaji wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuhusu usimamizi na ushughulikiaji wa Maadili ya Viongozi wa Umma.