Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi (wa kwanza kutoka kushoto), akifuatilia mada ya mafunzo kuhusu umuhimu wa afya ya akili kwa Watumishi wa Umma yaliyokuwa yakitolewa na Bingwa wa Afya ya Akili kutoka Jeshi la Polisi Makao Makuu Dodoma, Dkt. Elihuruma Elias (hayupo pichani) leo Julai 13, 2026 katika eneo maalumu la Ofisi hiyo Mtumba jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Ofisi hiyo Bw. Musa Magufuli.