Mhe. Xavier Daudi, Rais wa APS HRMnet-Africa ambaye pia ni Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora akitoa salaamu za APSHRMnet -Afrika kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua Mkutano wa Mameneja Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma Barani Afrika, Tawi la Tanzania leo tarehe 6 Mei, 2024.