Mkurugenzi Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu, Bi. Leila Mavika akitoa maelezo ya awali kabla ya kumkaribisha Mwakilishi wa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, SACP. Ibrahim Mahumi (hayupo pichani) kufunga mafunzo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi na Wakurugenzi Wasaidizi kutoka Sekretarieti za Mikoa yaliyolenga kuwajengea uwezo Viongozi hao kifikra, kitabia na mtazamo kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za kiutumishi.