Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akifurahia jambo na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Mick Kiliba. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA), Mhandisi Benedict Ndomba.