Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
ZIARA YA NAIBU WAZIRI MHE. SANGU KATIKA WILAYA YA NZEGA

Naibu Waziri, ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya kukagua Mradi wa ujenzi wa ofisi za TAKUKURU Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora uliogharimu kiasi cha Sh. Milioni 314.2 hadi kukamilika kwake.

22
Sep 24
22
Sep 24
22
Sep 24
22
Sep 24