Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
MHE. SIMBACHAWENE: KUWENI NA MOYO WA HURUMA NA UPENDO KWA WAGONJWA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na Wanachama wa Chama cha Madaktari Wakikristo Tanzania (Tanzania Christian Medical Association - TCMA) wakati akifungua mkutano mkuu wa 87 wa mwaka wa Chama hicho ulifanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa St. Gaspar Dodoma