Habari
WHI JENGENI NYUMBA ZA WATUMISHI KWENYE MAENEO YENYE FURSA NA MAZINGIRA MAZURI YA KUISHI-Mhe. Kikwete

Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Investments (WHI), Dkt. Fred Msemwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kujitambulisha na kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa taasisi hiyo jijini Dar es Salaam.