Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MHE. SIMBACHAWENE AZITAKA TAASISI ZA UMMA KUZINGATIA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA KATIKA KUTOA HUDUMA BORA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (katikati) akiwa na viongozi mbalimbali wakiwa wameshika Mikataba ya Huduma  kwa Mteja ya Taasisi za Umma ambayo imezinduliwa leo  katika  Kilele cha Maadhimisho wiki ya  Utumishi wa Umma Jijini Dodoma