Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MHE. SIMBACHAWENE AZITAKA TAASISI ZA UMMA KUZINGATIA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA KATIKA KUTOA HUDUMA BORA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene akimkabidhi  Naibu Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi  cheti cha  kuwa Mkataba wa Huduma  kwa Mteja uliokidhi viwango wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakati wa Uzinduzi  wa Mikataba ya Huduma  kwa Mteja ya Taasisi za Umma katika  Kilele cha Maadhimisho wiki ya  Utumishi wa Umma ambayo kitaifa yamefanyika katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.