Habari
WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA WATENDAJI SERIKALINI KUTOA FURSA KWA WATUMISHI WANAOWAONGOZA ILI WAONESHE UWEZO WAO KIUTENDAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi mara baada ya Waziri huyo kuzungumza na watumishi wa Wakala hiyo jijini Dar es Salaam.