Habari
WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA VIONGOZI KUSIKILIZA MALALAMIKO YA WATUMISHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa, Bi. Mwanahamsi Ally Mara baada ya kuwasili katika halmashauri hiyo kwa ziara ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa halmashauri hiyo. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mhe. Sophia Kizigo.