Habari
WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA VIONGOZI KUSIKILIZA MALALAMIKO YA WATUMISHI

Sehemu ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa halmashauri hiyo.