Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA UTUMISHI MMOJA USIO NA MATABAKA KWENYE MASLAHI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais Menejimenti  ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora   mara baada ya kuufungua mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala za Serikali  uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam