Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA UTUMISHI MMOJA USIO NA MATABAKA KWENYE MASLAHI


Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika, Dkt.Tumaini Katunzi akitoa neon la shukrani kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene mara baada ya kufungua Mkutano wa Watendaji Wakuu  wa Wakala za Serikali nchini uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam