Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA UTUMISHI MMOJA USIO NA MATABAKA KWENYE MASLAHI


Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Taasisi, Bw. Nolasco Kipanda akizungumza  akizungumza kabla ya kumkaribisha  Katibu Mkuu Utumishi, Bw. Juma Mkomi  kwa ajili ya kuzungumza na  Watendaji Wakuu  wa Wakala za Serikali nchini  katika Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam