Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA UTUMISHI MMOJA USIO NA MATABAKA KWENYE MASLAHI


Sehemu ya Watendaji Wakuu wa Wakala za Serikali nchini walioshiriki  Mkutano  uliofanyika leo Jijini ambapo  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amewataka kuzingatia mifumo iliyoanzishwa na Serikali kwa lengo la kuujenga  Utumishi wa Umma usio na matabaka kwa ajili ya  maslahi mapana kwa Taifa