Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA UTUMISHI MMOJA USIO NA MATABAKA KWENYE MASLAHI


Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, UTUMISHI Bw. Juma Mkomi akizunguma kabla ya kumkaribisha  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza  leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala za Serikali nchini