Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE ASISITIZA UMUHIMU WA KUINGIZA TAARIFA ZA WATUMISHI KWENYE MIFUMO ILI KUBORESHA MASUALA YA UTUMISHI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe. Paulo Chacha mara baada ya kuwasili katika ofisi za Mkuu wa Wilaya huyo wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri Simbachawene  iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa umma.