Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA WATUMISHI WA SEKRETARIETI YA AJIRA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma mara baada ya kuhitimisha kikao kazi chake na watumishi hao kilichofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji.