Habari
WAZIRI SIMBACHAWENE AITAKA TASAF KUWA SHIRIKISHI ILI KUWAGUSA WALENGWA HALISI WA UMASIKINI

Sehemu ya watumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi jijini Dar es Salaam iliyolenga kuhimiza uwajibikaji.