Habari
WAZIRI SIMBACHAWENE AITAKA TASAF KUWA SHIRIKISHI ILI KUWAGUSA WALENGWA HALISI WA UMASIKINI

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa maelezo ya awali kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene kuzungumza na watumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) jijini Dar es Salaam wakati wa ziara ya kikazi ya viongozi hao iliyolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi hao.