Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI SIMBACHAWENE AELEZA DHAMANA WALIYONAYO MAKATIBU TAWALA WA WILAYA KWA WANANCHI


 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, UTUMISHI Bw. Juma Mkomi akizungumza kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi,  Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene kwa ajili ya kufunga Semina  elekezi  iliyofanyika kwa muda wa siku tatu Jijini Dodoma kwa lengo la kuwawezesha Watendaji hao  kutoa huduma bora kwa wananchi.