Habari
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza mara baada ya kuwasili katika jengo la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambalo limefikia asilimia 88 ya ujenzi wake katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza mara baada ya kuwasili katika jengo la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambalo limefikia asilimia 88 ya ujenzi wake katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma