Habari
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA MAJENGO MENGINE YA WIZARA YANAYOJENGWA KATIKA AWAMU YA PILI YA UJENZI WA MJI WA SERIKALI

Mhe. Jenista Mhagama na Mhe. Joyce Ndalichako pamoja na Mhe. Deogratius Ndejembi wakijadiliana jambo kabla ya kumpokea Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa ujenzi wa ofisi za wizara unaotekelezwa katika awamu ya pili ya mradi wa ujenzi wa Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.