Habari
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA MAJENGO MENGINE YA WIZARA YANAYOJENGWA KATIKA AWAMU YA PILI YA UJENZI WA MJI WA SERIKALI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Rais-UTUMISHI kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakati wa ziara ya kikazi ya Mhe. Waziri Mkuu iliyolenga kukagua maendeleo ya ujenzi wa ofisi za wizara unaotekelezwa katika awamu ya pili ya mradi wa ujenzi wa Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.