Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MKUU MAJALIWA AWATAKA MAKATIBU TAWALA WA WILAYA KUZINGATIA MIIKO NA MAADILI YA UTENDAJI


Mkurugenzi wa idara ya Uendelezaji Taasisi, Bw. Nolasco Kipanda kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  akitoa mada wakati akitoa Semina elekezi kwa Makatibu Tawala wa Wilaya Tanzania Bara  yaliyoanza leo Julai 4 hadi Julai 6, 2023  Jijini Dodoma kwa lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi.