Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MKUU MAJALIWA AWATAKA MAKATIBU TAWALA WA WILAYA KUZINGATIA MIIKO NA MAADILI YA UTENDAJI


Sehemu ya Watumishi wa  Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  wakimsikiliza Waziri Mkuu  Mhe. Kassim Majaliwa  wakati akifungua Semina elekezi  kwa Makatibu Tawala wa Wilaya Tanzania Bara  yaliyoanza leo Julai 4 hadi Julai 6, 2023  Jijini Dodoma kwa lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi