Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MKUU MAJALIWA AWATAKA MAKATIBU TAWALA WA WILAYA KUZINGATIA MIIKO NA MAADILI YA UTENDAJI


Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Mhe.Ridhiwan Kikwete akizungumza na Makatibu Tawala kabla ya kumkaribisha Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu, Mhe. Kassim majaliwa kufungua Semina elekezi  kwa  Watendaji hao Jijini Dodoma kwa lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi.