Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MKUU AWATAKA MAKATIBU TAWALA WA WILAYA KUZINGATIA MIIKO NA MAADILI YA UTENDAJI


Waziri Mkuu  Mhe. Kassim Majaliwa akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi  na Makatibu Tawala mara baada ya kufungua  Semina elekezi ya  siku tatu  kwa Makatibu Tawala hao wa  WilayaTanzania Bara yaliyoanza leo Julai 4 hadi Julai 6, 2023  Jijini Dodoma kwa lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi.