Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MKUU AWATAKA MAKATIBU TAWALA WA WILAYA KUZINGATIA MIIKO NA MAADILI YA UTENDAJI


 Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza  kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu  Mhe. Kassim Majaliwa kwa ajili ya kufungua Semina elekezi iliyoanza leo Julai 4 hadi Julai 6, 2023  Jijini Dodoma kwa lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi.