Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MHE. SIMBACHAWENE AHIMIZA UBUNIFU KWA WATUMISHI WA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao mara baada ya kikao kazi huku akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa pili kulia) pamoja na  Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw.Juma Mkomi (wa pili kushoto).