Habari
WAZIRI JENISTA AKUTANA NA BALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA NA KUFANYA MAZUNGUMZO YA KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI WA UMMA, MATUMIZI YA TEHAMA SERIKALINI NA UWEZESHAJI WA KAYA MASKINI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Binaya Pradhan walipokutana jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo ya kuendeleza ushirikiano katika kuwajengea uwezo watumishi wa umma, matumizi ya TEHAMA serikalini na uwezeshaji wa kaya maskini.