Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI JENISTA AKUTANA NA BALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA NA KUFANYA MAZUNGUMZO YA KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI WA UMMA, MATUMIZI YA TEHAMA SERIKALINI NA UWEZESHAJI WA KAYA MASKINI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akipokea zawadi toka kwa Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Binaya Pradhan kuashiria ushirikiano mzuri uliopo baina ya Tanzania na India.