Habari
WATUMISHI WA TAKUKURU WILAYANI KILOLO WATAKIWA KUITUNZA OFISI MPYA NA MIUNDOMBINU YAKE ILI ITUMIKE KUPAMBANA NA RUSHWA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, wakati akiwa kwenye ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la TAKUKURU katika halmashauri hiyo.