Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WAFANYA UTALII HIFADHI YA TAIFA TARANGIRE KUMUUNGA MKONO MHE. RAIS KUUTANGAZA UTALII

Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Cosmas Ngangaji akieleza lengo la Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kufanya utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, mara baada ya kumalizika kwa Mkutano Maalum wa Baraza la Wafanyakazi la ofisi hiyo uliofanyika Babati Mkoani Manyara.