Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI KUPATIWA MAFUNZO YA AKILI YA KUHIMILI HISIA BINAFSI NA ZA WATEJA ILI WAWEZE KUTOA HUDUMA BORA


Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi akizungumza na watumishi wa ofisi yake wakati wa kikao kazi cha Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro na watumishi wa ofisi yake kilicholenga kutatua changamoto zinazowakabili na kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi hao. Katikati ni Katibu Mkuu UTUMISHI Dkt. Laurean Ndumbaro na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI Bw. Musa Magufuli (kulia).