Habari
WATUMISHI HOUSING YAPONGEZWA KUJENGA NYUMBA ZA BEI NAFUU ZAIDI YA 900 KWA AJILI YA KUWAUZIA NA KUWAPANGISHA WATUMISHI WA UMMA

Mtendaji Mkuu wa Watumishi Housing (WHI) Dkt. Fredy Msemwa akizungumza na Waandishi wa Habari mara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, kuhitimisha ziara ya kuitembelea taasisi hiyo kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa taasisi hiyo.