Habari
WATUMISHI HOUSING YAPONGEZWA KUJENGA NYUMBA ZA BEI NAFUU ZAIDI YA 900 KWA AJILI YA KUWAUZIA NA KUWAPANGISHA WATUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akielekeza jambo kwa Mtendaji Mkuu wa Watumishi Housing Investments (WHI) Dkt. Fredy Msemwa, alipotembelea mradi wa nyumba ya ghorofa iliyojengwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kuwauzia na kuwapangisha watumishi wa umma.