Habari
WATUMISHI HOUSING YAPONGEZWA KUJENGA NYUMBA ZA BEI NAFUU ZAIDI YA 900 KWA AJILI YA KUWAUZIA NA KUWAPANGISHA WATUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akisisitiza jambo kwa Menejimenti ya Watumishi Housing Investments (WHI) jijini Dar es Salaam, alipotembelea taasisi hiyo kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa taasisi hiyo.