Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WATUMISHI HOUSING YAPONGEZWA KUJENGA NYUMBA ZA BEI NAFUU ZAIDI YA 900 KWA AJILI YA KUWAUZIA NA KUWAPANGISHA WATUMISHI WA UMMA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Watumishi Housing (hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi yake kwa Waziri huyo alipofanya ziara ya kuhimiza uwajibikaji kwenye taasisi hiyo jijini Dar es Salaam.