Habari
WATUMISHI HOUSING YAPONGEZWA KUJENGA NYUMBA ZA BEI NAFUU ZAIDI YA 900 KWA AJILI YA KUWAUZIA NA KUWAPANGISHA WATUMISHI WA UMMA

Mtendaji Mkuu wa Watumishi Housing (WHI) akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, wakati Waziri huyo alipotembelea taasisi hiyo kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa taasisi hiyo.