Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WATENDAJI SERIKALINI WAJENGEENI UWEZO WATUMISHI WENU ILI KUTATUA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA WATAALAM -MHE. JENISTA


Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Halmashauri ya Mji Mbinga na taasisi nyingine za Serikali mkoani Ruvuma wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo mkoani Ruvuma iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.