Habari
WATENDAJI SERIKALINI WAJENGEENI UWEZO WATUMISHI WENU ILI KUTATUA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA WATAALAM -MHE. JENISTA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimuelekeza jambo Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bw. Stephen Ndaki wakati wa kikao kazi cha Waziri huyo na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Ruvuma iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.