Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WATAALAM WA TEHAMA SERIKALINI WATAKIWA KUPATA KIBALI CHA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO KABLA YA KUTEKELEZA MIRADI YA TEHAMA ILI KUTOPOTEZA MAPATO YA SERIKALI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifungua kikao kazi cha siku mbili cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya TEHAMA Serikalini jijini Dodoma