Habari
WASHIRIKI WA KIKAO KAZI CHA KUTATHMINI MATOKEO YA UTAFITI WA HALI YA UZINGATIAJI WA MAADILI WATAKIWA KUTOA MAPENDEKEZO YATAKAYOIMARISHA UADILIFU KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Sehemu ya wadau wa usimamizi wa maadili katika utumishi wa umma wakiwa katika kikao kazi cha wadau hao kilicholenga kujadili matokeo ya tafiti ya hali ya uzingatiaji maadili katika utumishi wa umma ya mwaka 2022, jijini Dodoma.