Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WANANCHI WASISITIZWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA RUSHWA


Sehemu ya Menejimenti ya TAKUKURU wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe.Hemed Suleiman Abdulla  wakati akifungua Maadhimisho ya Siku ya Kupambana na Rushwa Barani Afrika ambayo kwa mwaka huu yanafanyikia nchini Tanzania,  Jijini Arusha,