Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WANANCHI 72,000 KUNUFAIKA NA KITUO CHA AFYA KINACHOJENGWA KUPITIA MIRADI YA TASAF WILAYANI KWIMBA


Mwonekano wa jengo la afya ya uzazi (marternity Ward) linalojengwa kupitia mradi wa TASAF katika Kijiji cha Budushi, Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza.