Habari
WANANCHI 72,000 KUNUFAIKA NA KITUO CHA AFYA KINACHOJENGWA KUPITIA MIRADI YA TASAF WILAYANI KWIMBA

Mwonekano wa jengo la afya ya uzazi (marternity Ward) linalojengwa kupitia mradi wa TASAF katika Kijiji cha Budushi, Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza.