Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WANANCHI 72,000 KUNUFAIKA NA KITUO CHA AFYA KINACHOJENGWA KUPITIA MIRADI YA TASAF WILAYANI KWIMBA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (watatu kutoka kulia) akitoka kukagua jengo la afya ya uzazi (marternity Ward) wakati wa ziara yake ya kikazi katika Kijiji cha Budushi, Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika halmashauri hiyo. Wengine ni watendaji wa TASAF na viongozi wa halmashauri ya Wilaya ya Kwimba.