Habari
WANANCHI 72,000 KUNUFAIKA NA KITUO CHA AFYA KINACHOJENGWA KUPITIA MIRADI YA TASAF WILAYANI KWIMBA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (kulia) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Mhe. Ndatwa Ludigija (kushoto) katika Kijiji cha Budushi, Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri Simbachawene iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika halmashauri hiyo.