Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WANANCHI 72,000 KUNUFAIKA NA KITUO CHA AFYA KINACHOJENGWA KUPITIA MIRADI YA TASAF WILAYANI KWIMBA


Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Kijiji cha Budushi, Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao mara baada ya kukagua majengo ya afya ya uzazi na maabara yanayoendelea kujengwa kwa ufadhili wa TASAF na fedha za mapato ya ndani za Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba wakati wa ziara yake ya kikazi katika halmashauri hiyo.