Habari
WANAFUNZI UDOM WAASWA KUISHI KWA KUZINGATIA MAADILI ILI KUTIMIZA MALENGO YAO KITAALUMA NA KUJENGA TASWIRA NZURI YA CHUO

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma walioshiriki Kongamano la Kukuza Maadili na Elimu ya Mapambano Dhidi ya Rushwa lililofanyika katika ukumbi wa Chimwaga Jijini Dodoma.